Mwigizaji Mkongwe na Maarufu nchini Tanzania aitwae Grace Mapunda amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu.
Mwigizaji Mkongwe na Maarufu nchini Tanzania aitwae Grace Mapunda amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu.
0 Maoni