TRENI MCHONGOKO YAANZA SAFARI LEO

 Safari ya kwanza ya treni ya kisasa ya Mchongoko (Electric Multiple Unit - EMU )  imeanza leo Novemba Mosi, 2024 kutoka Stesheni ya Magufuli mkoani Dar es Salaam hadi Stesheni Kuu ya Samia mkoani Dodoma.

Treni Mchongoko (  Electric Multiple Unit - EMU ) ina vichwa mbele na nyuma tofauti na treni zingine zenye kichwa kimoja, huku ikibeba jumla ya abiria 589 na inatembea kwa mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa.



Chapisha Maoni

0 Maoni