KUMBUKIZI: EDWARD NGOYAI LOWASSA

Leo ni kumbukizi ya kifo cha Edward Ngoyai Lowassa, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mbunge wa Monduli.


‎ Familia yake inamkumbuka kama mzalendo wa kweli, mume anayejali, baba mwenye mapenzi mema, na babu mwenye upole mwingi.

‎Maisha ya Hayati Lowassa yanajieleza kwa ushupavu, uaminifu, uhodari, na huduma thabiti kwa familia na wananchi wa Tanzania.

Chapisha Maoni

0 Maoni