Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne Elimu ya Msingi 2025.
Matokeo yametangazwa tarehe 31 Januari, 2026 jijini Dar es Salaam.
Jumla ya watahiniwa 569,883 walifanya mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari.
Watahiniwa waliosajiliwa katika shule ni 5,864 na wahitimu wa kujitegemea ni 25,927.
Wahitimu wa kujitegemea waliosajiliwa katika vituo ni 813.
Haya hapa matokeo ya Kidato cha Nne 2025👇👇👇👇👇👇👇

0 Maoni